Saturday, January 16, 2010

ASHURA JUMA MAULID



Hellow Tz niajeeeeeeeeeeeeeee?!?!?!?!!!!????

Ashura bint wa Maulid hapaaa bt jus call me Csta Shouu coz I realy feel dis name.

Ni student wa ukwe-e from collage ya wajanja{DSJ}, nikiwa nakamilisha masomo ya Diploma.
Nafurahi kinyama kuwa miongoni mwa wanafunz wa dat collage coz I’hv got 2knw manythngs n manyp’po dat I ddn knw them b4.
Mzuka zaid ninapopata chance ya kuvsit sehem tofaut tofaut kwa ziara ya masomo na kukutana na wa2 muhim sana wa fani yangu.
Hebu icheki hii hapaaaaaaaaaaa
Ni ndani ya ZNZ ktk ki2o bora kabsa kinachorusha matangazo ya ukwe-e kijulikanacho as Saut ya pwani 96.8 Zenj Fm Radio.
Hapo chachaaa, dahh!!!! Ucpyme mkubwa ni ushirkiano wa kutosha toka kwa Tallented host wa dat Fm Radio.
Kuptia dis station nimepata kujuana as well as kuwaona host wakali from ZNZ island.

Mara ya kwanza naanza field ckufikiria kuwa itawadia tym ya machungu pndi nitakaposignout na kujawa na cmanz bt ‘n’way 2ko pa1 coz ni family ryt now.
Ni hayo 2 kwa sasa, mengi zaid endelea kuifungulia macho blog ya mkali wa The CRUSH Dj Siiiiiiideeeeeee.


My short message 2u

Live’s not always easy bt never gve up ur courage.
Often there’ll come a new began which’ll give u luck
I wish u all a gud tym in pc n luv , which’ll delight everyone.
Thanxxxxx

xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx

1 comment:

Anonymous said...

i this official?