Saturday, January 16, 2010

SIKU YA MAPINDUZI ILIKUWA KA,MA HIVI HII NI SEHEM YA MAFUNDI


Wadau hapa ni uwanja wa Gombani Pembaaa, Na hapa ndipo sehem pa utangazaji na Ufundi. Mimi nikiwa kama Fundi Mkuu wa Zenjifm nilikuwa Gombani kwa ajili ya Kurusha Live Hapa ndio sehem tulipokuwa na mafundi . Kutoka STZ sauti ya Tanzania Zanzibar na Mafundi wa TTCL Kuhakikisha mambo yote yanakwenda sawiaaa

No comments: