
Hayaa jamani... Juzi tuu Mtu mzima R kelly alitia maguu Uganda nakupiga show ya maana. Ambapo ujio wa R kelly ulidhaminiwa na Zain mtandao wa sim za mkononi .. Wiki haijafika MTN washatangaza kuleta Lionel Richie ndani ya Uganda . Tujiulizee hivi ni lini ZANZIBAR atakuja Msanii mkubwa kuja Kupiga show?
No comments:
Post a Comment