Sunday, January 3, 2010

Mr BlUE ADAIWA KUUUWAWAA KWA RISASI


Mr Blue usiku wa kuamkia Mkesha wa mwaka mpyaa kuna habari ambazo zimetapakaa kwa kiasi kikubwa hapa znz kuwa msanii huyo amefariki jijini Nairobi Nchini Kenya kufuatia kupigwa risasi na watu wasiofahamika.

The crush imepata msg nyingi na hata simu kuulizia tukio hilo kama lina ukweli wowote, Zenjfm Radio imefanya uchunguzi na kubaini kuwa msanii huyo yuko hai na yuko poa .. Uzushhhhhhhhhhhh mtupuu!!!

No comments: