Saturday, January 16, 2010

SOKO LA MKOANI PEMBA




Hapa tulikuwa sokoni Mkoani hii ilikuwa siku ya Pili baada ya kumaliza sherehe za mapinduzi ..Mkoani palifurika Wajeda.. au majeshi au ma mweraa... Kila mtu alikuwa bizeee kutafuta zawadi za kuwaletea ndugu zao Unguja....Sisi tulikuwa hapa kwa ajili ya kuchukua boti kurudi znz... Crew ya Zenjifm Ilikuwa hapo kwa ajili ya kununu halua na Tosi.. Kama Mnavomuona Mrembo hapo picha ya kati Mtangazaji wa Zenjifm Bi Aziza Wazir kheri akinunua Halua ya Pemba .

No comments: