Tuesday, January 12, 2010

HAWA NI WADAU WANGU WA PEMBAA




Wadau mambo vipi? Nilikuwa kimyaa kidodgo,Bado nipo Pemba kwenye sherehe za mapinduzi nilikuwa nimebanwaa sana kupita maaelezo ..Leo ndio tumemaliza mpango mzimaaa raha rahaa tuuu.. Hao hap juuu ni wadau wa kipindi cha The crush Pembaaa Maskani yao inaitwaa Wonderfull beber shop salon pande za macho manee . Tukiwa kwenye pozi la ukweli .Mimi nikiwa kati na Mchizi moja anaitwa Othman kondo, Dogo hamndu Dogo chande, Salum Henry..
Big up sana wadau wa Pemba pamoja sana

No comments: