Saturday, January 16, 2010

MPIGA DEBE MAARUFU BANDARINI PEMBA


Huyu ndie Bin Daud... Mpiga Debe maarufu Bandarini Pemba .. Hapa alikuwa ananiba kisomo Hajui kama kakutana na Mwalim wakee.. Kumwambia kama Mimi ni Dj sidee. daaaaa? kashangaa akaanza kunivangatiaaa. kelele mtindo mzimaaa. Dj sideeee Dj sideeeee eeeehhh. akachukua mzigo wangu wa Bov ya Microphone anataka nimtoeee... Daaa? Jamaa kaichaaa sanaa . Jamaa ni Noma. Wakati napiga nae stoty akaniambia yeye ni Mzanzibari Mzaliwa wa Chaani ... Huyu ndie Bin Daud

No comments: