Sunday, January 3, 2010

HAYAAA JAMANIII JIONEEE BATAAAA HUYO WA OFFSIDE TRICK HHMM KAMA TUKO JAMAICA?



Hmm jamanii mumeionaa hiii? Hawa ni wazanzibari wenzetu bwanaaa.. Mambo ya bataa hayoo.. Habari kamili zinakuja ... Maana nasikia ipo video nyengine ya bataa amabayo hata macho yangu hayawezi kuangalia .. Duuuu?

Mwenye uzuri wa macho , kifua na wake mwili........ mwenye nyama laini ya nje hadi ya ndani.... kwanza nimekwisha wasikia kama wanataka kuharabia.. wanasema unapomlaaa, mfupa huwezi tupa... ukitaka raha zaidi uwe umempakata........nyaama ya mbele ni kavu , ya nyumba ina mafuta......
jamani bataa mtaamu nyie........

No comments: