Saturday, January 16, 2010

STUDIO YA ZENJIFM PEMBAA





Haya wadau wa blog hii.. Nilipata nafasi pia ya kutembelea sehem ambayo Zenjifm Inarusha matangazo yake huko Pemba. Hapa ni chake chake Gombani ambapo hata TVZ ilipo studio yao na sehem wanayorusha matangazo.. Huo ndio mnara ambao tumefunga antena zetu za kusukuma mawimbi ya sauti, Na hicho kijumba hapo ndimo mlimo mitambo ya Zenjifm .Kwa kweli Pemba Nzima Zenjifm inasikika vizuri sana

No comments: