Saturday, January 16, 2010

HILI NDILO KABURI LA MAREHEM DR OMAR


Nilipata nafasi ya kutembele Jimbo la Wawi Pemba lengo hasa la kwenda Wawi ilikuwa Pia kudhuru Kaburi la Marehm Dr Omar Ally Juma ... Aliekuwa Makam wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania... Hili ndio kaburi lake. Kulikuwa na Tetesi Eti lilikuwa limedharauliwa eti lina msitu mkubwaaa hali ambayo nsio ya kweli. Mimi Binafsi nimefika na nimejionea Mwenyewe . Hiyo hapo juu ni picha likiwa linaonekana safi halina msitu .

No comments: