Thursday, January 7, 2010

BINAADAM ANALIWA KAMA MBUZI?









Kwakweli hata lakuandika sijui.. Maana haya ninayo yaona hapa sijapata kuyaona tokea nazalia . Naona ni maajabu tu... Yaani binaadam analiwa kama mnyama? Nimesika wachina wanakula Nyokaaa, Mbwaaa, vyuraaaa majongooo. konokono lakini hii kali. Huyu ni babu alie kimbia njaa africa akenda kwenye kisiwa kimoja huko china . Hatimae haya ndio yaliomkutaaa. Amechinjwaaa kama kuku watu wakagawana nyamaa. Ilikuwa ni mwituni baadae wakapika ubwabwaa wakalaa.

Lakini jamanii huu si unyanyasaji? Inafaaa kuungana kupiga vita unyanyasaji na vitendo vya kinyama kama hivi. Hawa watu ni waaajabu kweli .

No comments: