Friday, January 15, 2010

WATANGAZAJI WA ZENJIFM


Wadau hapa Tulikuwa tumekaribishwa Pemba mitaa ya Machomanee nyumbani kwa Mmoja wa wafanyakazi wetu wa Tawi la Pemba . Nyumbani kwa Bi Hadija .. Tulikaribishwa kwa kupikiwa Maembe mabivu Madodo ya nazi . chakula cha kipembaa .. Kulia ni Hafidh kasim meneger wa Zenjifm , Akifuatiwa na Aziza Wazi Kheri Msaidizi Program Meneger .Mimi nikiwa katikati (Dj sideeeeeeeee)..... Kushoto yangu ni Muandishi wa Hits Fm Bi Ajuzaa

No comments: